Skip to content
Zaburi 132:3-5

Zaburi 132:3-5

3
“Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
4
sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
5
mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options