Skip to content
Zaburi 132:1-5

Zaburi 132:1-5

1
Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
2
Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
3
“Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
4
sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
5
mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options