Skip to content
Zaburi 132:6-10

Kutafuta Sanduku na Kuomba Pumziko

Zaburi 132:6-10
6
Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
7
“Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
8
inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
9
Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
10
Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options