Rukia maudhui
Zaburi 130:5-6

Kumngojea Mungu kwa Saburi

Zaburi 130:5-6
5
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options