Skip to content
Zaburi 130:7-8

Tumaini na Ukombozi kwa Israeli

Zaburi 130:7-8
7
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options