Rukia maudhui
Zaburi 128:1-2

Baraka za Kumcha BWANA

Zaburi 128:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options