Rukia maudhui
Zaburi 127:3-5

Watoto ni Urithi Kutoka kwa Mungu

Zaburi 127:3-5
3
Wana ni urithi utokao kwa Bwana, watoto ni zawadi kutoka kwake.
4
Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.
5
Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options