Skip to content
Zaburi 124:7-8

Zaburi 124:7-8

7
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options