Skip to content
Zaburi 120:2-4

Zaburi 120:2-4

2
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options