Skip to content
Zaburi 120:1-2

Kilio cha Kuomba Wokovu

Zaburi 120:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options