Rukia maudhui
Zaburi 12:5-6

Ahadi ya BWANA ya Kutenda

Zaburi 12:5-6
5
“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, nitainuka sasa,” asema Bwana. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
6
Maneno ya Bwana ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options