Skip to content
Zaburi 12:1-4

Zaburi 12:1-4

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
2
Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
3
Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno,
4
ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda; midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options