Skip to content
Zaburi 119:49-52

Zaburi 119:49-52

49
Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako, kwa sababu umenipa tumaini.
50
Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
51
Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka, hata hivyo sitaiacha sheria yako.
52
Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani, nazo zinanifariji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options