Zaburi 118:10-13
10
Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
11
Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
12
Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
13
Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini Bwana alinisaidia.
Settings