Rukia maudhui
Zaburi 114:1-2

Mungu Awaongoza Israeli Kutoka Misri

Zaburi 114:1-2
1
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options