Skip to content
Zaburi 111:1-5

Zaburi 111:1-5

1
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options