Skip to content
Zaburi 110:5-7

Zaburi 110:5-7

5
Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
6
Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
7
Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options