Skip to content
Zaburi 110:5-7

Mfalme Atekeleza Hukumu ya Mungu

Zaburi 110:5-7
5
Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
6
Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
7
Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options