Skip to content
Zaburi 111:2-4

Ukuu wa Matendo ya Mungu

Zaburi 111:2-4
2
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options