Skip to content
Zaburi 111:2-4

Zaburi 111:2-4

2
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options