Rukia maudhui
Zaburi 109:1-5

Malalamiko Juu ya Maadui Wadanganyifu

Zaburi 109:1-5
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, ambaye ninakusifu, usiwe kimya,
2
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
3
Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.
4
Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki, lakini mimi ninawaombea.
5
Wananilipiza mabaya kwa mema, chuki badala ya urafiki wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options