Skip to content
Zaburi 106:24-27

Zaburi 106:24-27

24
Kisha waliidharau ile nchi nzuri, hawakuiamini ahadi yake.
25
Walinungʼunika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii Bwana.
26
Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,
27
kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options