Rukia maudhui
Zaburi 104:31-35

Nadhiri ya Sifa za Milele

Zaburi 104:31-35
31
Utukufu wa Bwana na udumu milele, Bwana na azifurahie kazi zake:
32
yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
33
Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
34
Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Bwana.
35
Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia na waovu wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, msifu Bwana. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options