Skip to content
Zaburi 104:27-30

Zaburi 104:27-30

27
Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
28
Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
29
Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
30
Unapopeleka Roho wako, wanaumbwa, nawe huufanya upya uso wa dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options