Skip to content
Zaburi 104:24-26

Zaburi 104:24-26

24
Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi! Kwa hekima ulizifanya zote, dunia imejaa viumbe vyako.
25
Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele, imejaa viumbe visivyo na idadi, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
26
Huko meli huenda na kurudi, pia Lewiathani, uliyemuumba acheze ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options