Rukia maudhui
Zaburi 101:2-4

Uadilifu Katika Nyumba ya Mfalme

Zaburi 101:2-4
2
Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama: utakuja kwangu lini? Nitatembea nyumbani mwangu kwa moyo usio na lawama.
3
Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
4
Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options