Rukia maudhui
Zaburi 1:4-6

Hatima ya wasiomcha Mungu

Zaburi 1:4-6
4
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options