Rukia maudhui
Mithali 6:16-19

Mambo Saba Anayoyachukia BWANA

Mithali 6:16-19
16
Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
17
macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
18
moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,
19
shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options