Skip to content
Mithali 6:12-15

Mithali 6:12-15

12
Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu,
13
ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
14
ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.
15
Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula; ataangamizwa mara, pasipo msaada.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options