Mithali 5:15-18
15
Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe, maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.
16
Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji na vijito vyako vya maji viwanjani?
17
Na viwe vyako mwenyewe, kamwe visishirikishwe wageni.
18
Chemchemi yako na ibarikiwe na umfurahie mke wa ujana wako.
Settings