Rukia maudhui
Mithali 4:7-9

Mithali 4:7-9

7
Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.
8
Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.
9
Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji ya utukufu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options