Baraka za Kuifuata Hekima
10
Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia, nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.
11
Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12
Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.
13
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; mshike, maana yeye ni uzima wako.
Settings