Mithali 30:33
Inaonyesha mstari 33 pamoja na muktadha unaouzunguka.
30
simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama, asiyerudi nyuma kwa chochote;
31
jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu, naye mfalme pamoja na jeshi lake lililomzunguka.
32
“Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe, au kama umepanga mabaya, basi funika mdomo wako na mkono wako.
33
Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi, na pia kule kufinya pua hutoa damu, kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”
Settings