Rukia maudhui
Mithali 30:3-4

Mithali 30:3-4

3
Sijajifunza hekima, wala sina maarifa ya kumjua yeye Aliye Mtakatifu.
4
Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka? Ni nani ameshakusanya upepo kwenye vitanga vya mikono yake? Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake? Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia? Jina lake ni nani, na mwanawe anaitwa nani? Niambie kama unajua!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options