Rukia maudhui
Mithali 30:18-20

Mithali za Namba: Mafumbo ya Mwendo

Mithali 30:18-20
18
“Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:
19
Ni mwendo wa tai katika anga, mwendo wa nyoka juu ya mwamba, mwendo wa meli katika maji makuu ya bahari, nao mwendo wa mtu pamoja na msichana.
20
“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options