Skip to content
Mithali 29:15-18

Mithali 29:15-18

15
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
16
Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
17
Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
18
Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options