Mithali 26:20-22
20
Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika.
21
Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, na kama kuni kwenye moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea ugomvi.
22
Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.