Skip to content
Mithali 26:13-16

Mithali 26:13-16

13
Mvivu husema, “Yuko simba barabarani, simba mkali anazunguka mitaa!”
14
Kama vile mlango ugeukavyo kwenye bawaba zake, ndivyo mvivu ajigeuzavyo kitandani mwake.
15
Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.
16
Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options