Rukia maudhui
Mithali 24:7-10

Upumbavu wa Uovu na Uvivu

Mithali 24:7-10
7
Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.
8
Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.
9
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
10
Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options