Rukia maudhui
Mithali 23:12-16

Kujitoa kwa Mafundisho

Mithali 23:12-16
12
Elekeza moyo wako kwenye mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
13
Usimnyime mtoto adhabu, ukimwadhibu kwa fimbo, hatakufa.
14
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini.
15
Mwanangu, kama moyo wako una hekima, basi moyo wangu utafurahi,
16
utu wangu wa ndani utafurahi, wakati midomo yako itakapozungumza lililo sawa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options