Rukia maudhui
Mithali 22:17-18

Mithali 22:17-18

17
Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima, elekeza moyo wako kwenye yale nifundishayo,
18
kwa maana inapendeza unapoyahifadhi moyoni mwako na kuwa nayo yote tayari midomoni mwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options