Mithali 22:1-4
1
Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi, kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au dhahabu.
2
Tajiri na maskini wanafanana kwa hili: Bwana ni Muumba wao wote.
3
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.
4
Unyenyekevu na kumcha Bwana huleta utajiri, heshima na uzima.
Settings