Skip to content
Mithali 22:1-4

Mithali 22:1-4

1
Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi, kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au dhahabu.
2
Tajiri na maskini wanafanana kwa hili: Bwana ni Muumba wao wote.
3
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.
4
Unyenyekevu na kumcha Bwana huleta utajiri, heshima na uzima.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options