Rukia maudhui
Mithali 2:12-15

Hekima Huwalinda na Watu Waovu

Mithali 2:12-15
12
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
13
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
14
wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
15
ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options