Rukia maudhui
Mithali 2:1-4

Wito wa Kutafuta Hekima kwa Bidii

Mithali 2:1-4
1
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
2
kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
3
na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
4
na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options