Rukia maudhui
Mithali 18:6-9

Hatari ya Maneno ya Mpumbavu na Uvivu

Mithali 18:6-9
6
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
7
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.
8
Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.
9
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options