Rukia maudhui
Mithali 18:10-12

Usalama wa Kweli na wa Uongo

Mithali 18:10-12
10
Jina la Bwana ni ngome imara, wenye haki huikimbilia na kuwa salama.
11
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.
12
Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options