6
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
7
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.
8
Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.
9
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.