Rukia maudhui
Mithali 16:6-7

Mithali 16:6-7

6
Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa; kwa kumcha Bwana mtu hujiepusha na ubaya.
7
Njia za mtu zinapompendeza Bwana, huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options