Rukia maudhui
Mithali 16:26-30

Mithali 16:26-30

26
Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi; njaa yake humsukuma aendelee.
27
Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya, maneno yake ni kama moto uunguzao.
28
Mtu mpotovu huchochea ugomvi, nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.
29
Mtu mkali humvuta jirani yake na kumwongoza katika mapito yale mabaya.
30
Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu; naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options