Mithali 13:15-18
15
Ufahamu mzuri hupata upendeleo, bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.
16
Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.
17
Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
18
Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu, bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
Settings