Rukia maudhui
Wafilipi 3:1-3

Furahini na Jihadharini na Walimu wa Uongo

Wafilipi 3:1-3
1
Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana! Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa maana ni kinga kwa ajili yenu.
2
Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.
3
Kwa maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options