Skip to content
Wafilipi 1:21-24

Wafilipi 1:21-24

21
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
22
Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
23
Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
24
Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options